Monday, August 22, 2011

ULEVI KUPINDUKIA WASABABISHA AJALI ENEO LA MAMA JOHN MBEYA

Askari wa usalama barabarani mkoani Mbeya akitoa kibao cha namba ya gari lililopata ajali maeneo ya Mama John jijini mbeya, ajali hiyo imetokea jana usiku baada ya dereva wa gari hilo aina ya Toyota Corola kuzidiwa kilevi na kukosa mwelekeo na kutumbukia katika dalaja.
Huwezi amini hii gari imeingiaje hapa kwakweli madereva kuweni makini barabarani pombe ni hatari ukiona umelewa acha kuendesha gari
Baadhi ya wananchi wakiangalia gari iliyotumbukia darajani Mama John jijini Mbeya

No comments:

Post a Comment