Monday, February 20, 2012

NA MWANDISHI WETU Vijana nje ya shule Duniani kote na Tanzania ni miongoni mwa makundi yaliyo katika hatari zaidi ya kuambukizwa V.V.U.Sababu hasa zinatokana na mazingira wanayoishi.Lakini pia vijana wanatumia muda mwingi nje ya familia zao na kutokana na kutokuwa na mbinu na uelewa wa kutosha wa kupambana na changamoto za makuzi yao.Matokeo ya hayo yote ni maambukizi ya V.V.U. Kadili vijana wanavyoambukizwa V.V.U na kuwa wagonjwa ndivyo familia zao zinavyozidi kupoteza nguvu kazi. Suluhisho la haya yote ni kuwapa vijana stadi za kukabiliana na changamoto za kila siku katika makuzi yao.Kwa maneno mengine kuwapa vijana elimu ya stadi za maisha. TEYODEN Programu ya vijana nje ya shule ni mradi uliofahiliwa UNICEF na kutekelezwa na wilaya 19 nchini Tanzania, Temeke ikiwa ni moja kati ya wilaya hizo.Mwaka 2001 TEYODEN ilianzishwa kama matokeo ya programu hiyo. TEYODEN ni kifupi cha maneno Temeke Youth Development Network.TEYODEN ilisajiliwa chini ya Majina ya Makampuni mwaka 2003 na mwaka 2007 imesajiliwa katika Ofisi ya Makamo wa Raisi.Mtandao unaratibu kazi zake katika vituo 24 vya vijana Manispaa ya Temeke. Kwa sasa Manispaa ya Temeke imeongeza kata 6 na hivyo kufanya idadi ya kata 30.TEYODEN inapanga kutanua wigo wake wa kazi na kuzifikia kata zote 30 hali inayofanya TEYODEN kuwa ndio chombo pekee kinachoweza kuwafikia vijana moja kwa moja. Kufuataia swala hilo TEYODEN hivi iliweza kupata ufadhili kutoka kwa Foundation For Civil Society juu ya elimu kuhusu ushiriki na ushirikiswaji wa vijana katika ngazi za maamuzi na mambo muhimu katika jamiii . Kutokana na juhudi hizo, TEYODEN ilianzishwa ili kuunganisha nguvu za vijana katika kutatua matatizo yao , na pia kuboresha mifumo ya uongozi, utendaji pamoja na uhakika wa upatikanaji wa rasilimali ili kuufanya Mtandao uwe endelevu na uweze kuendeleza vijana wa Temeke. Katika ukuaji wa mtandao huu, changamoto mbalimbali zilmekuwa zikijitokeza katika usimamizi na uendeshaji wa mipango ya kila siku ndani ya TEYODEN hasa kwa sasa limejitokeza sana suala la uwajibikaji kwa vijana,ushiriki na ushirikishwaji wao katika shughuli za maendeleo na kijamii. Sera ya maendeleo ya vijana ya mwaka 2007 inatamka wazi katika kipengele 3.3 kuwa vijana wana wajibu maalum katika jamii kama raia wema katika taifa lenye demokrasia.Wanatakiwa kulinda maisha yao,kulinda katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania,kuheshimu maadili katika vipengele vyote vya maisha na kushiriki kwa uhuru na kikamilifu katika maisha ya kijamii,kiuchumi na kisiasa nchini.Hata hivyo hakuna utaratibu ulio wazi wa kuwaanda vijana kutimiza wajibu huu wa kijamii. Hivyo TEYODEN imefanya tafiti na kubaini kuwa kuna mahitaji ya kutekeleza mradi wa kuamsha ari ya uwajibikaji, ushiriki na ushiriki wa vijana katika shughuli za kijamii na kimaendeleo ili kutafsili sera ya vijana kwa vitendo . Hivi karibuni TEYODEN ilweza kupata kufanya tamasha la nje juu ya mada kuu kuhusu ushirikishwaji wa vijana ambapo waliweza kumualika Diwani wa kata ya azamio Khamisi mzuzuri kama mgeni rasmi. Mzuzuri anaeleza kuwa njia pekee ya kuwasaidia vijana katiaka wilaya hiyo ni kuwapa nafasi ya kushiriki katika vikao mbalimbali vya kata na hata baraza la madiwani . “vijana suala la uwajibikaji ushiriki na na ushirikiswaji wa vijana ni suala muhimu sana kwa kuwa vijana wanafanya kundi kubwa la watu katika manispaa ya Temeke na wastani wa asilimia 50 lakini kijana ndio nguvu kazi ya taifa ” alismea mzuzuri. Analeza kuwa kwa asilimaia 68 taifa linategemea nguvu kazi ya vijana na hata halamshauri ya Manispaa ya Temeke imekuwa ikitegemea kundi la vijana kama ndio nyenzo kuu ya uzalishaji lakini bado kunachangamoto ya vijana ya utopewa taharifa sahii kwa vijana . Aliweka wazi kuwa suala la ushirikishwaji wa vijana katika vikao na hata shughuli mbalimbali siyo la wilaya bali bali linajikita katika ngazi ya taifa hivyo kusema swla la ushirikishwaji sio la kiwilaya peke yake bali ni la kitaifa kwa ujumla . Hivyo kueleza kuwa kwa sasa serikali imeweza kufikia nusu ya malengo kwa kuwashirikisha vijana kwa kupitisha mkakati wa ushirikishwaji wa vijana kitaifa makkati huo ukipitishwa utatatumika kama muongozo wa ushiriki na ushirikishwaji wa vijana wa taifa nzima . Kwa upande wake Mweneyekiti wa matanadao wa vijana Hassan Pwemu alieleza kuwa vijana wa manispaa ya Temeke wanacahanagamoto kubwa ya kutoshirikishwa katika mabambo mbalimbali kuanzi anagazi ya mitaa mpka wilaya . Kuafuatia swla hilo vijana wengi wemukuwa na uhaba wa taharifa muhimu ambazo zinaweza kuwavusha kutoka ngazi moja hadi nyingine hili kuweza kupanua uelewa binafsi . Anaeeleza kuwa Upo ushahidi mwingi unaonyeshwa kwamba wasichana walizaa kabla ya umri na waliosahaulika na wapenzi na familia zao wanakumbwa na changamoto nyingi ambazo zinawaweka katika hatari za kuambukizwa V.V.U na kuishi katika mazingira magumu zaidi.Lakini hakuna programu zinazowaangalia kama kundi maalumu. Inakadiliwa kuwa katika Manispaa ya Temeke vijana ndio kundi kubwa wastani wa asilimia 60% hivi.Temeke ina kiwango kikubwa cha wasichana walio katika mazingira hatarishi na ambao hawaendi shule au wameishia darasa la saba.Kwa bahati mbaya V.V.U/UKIMWI.Programu nyingi za manispaa ya Temeke zinawalenga vijana walio ndani ya shule na walio nje ya shule kwa jumla. Kwa mujibu wa tafiti inayohusu kiwango cha hatari za maambukizi ya V.V.U kwa vijana walio chini ya miaka 20 ulifanya na Taasisi ya TAMASHA kwa kushirikiana na TEYODEN umeonyesha kuwa Wasichana walio katika umri wa balehe hawapo salama popote pala katika mji huu wa Dar es salaam na kwingineko .msichana anapofikisha umri wa kuvunja ungo tu anahesabika kama mtu mzima anayeweza kuchukua majukumu ya usichana . Hivyo katika umri mdogo wa miaka 12 tu wanaanza kupata misukosuko ya kutakwa kimapenzi kutoka kwa wauza duka wauza magenge watu wasokoni walimu madakatari makondakta wa magari na watembea kwa miguu . Changamoto hizi wanakumabana nazo pasipo na mbinu au kinga yoyote mwisho wa yote hukubali na kupata mimba mimba hizi wanzo zipata katika umri mdogo na maisha yao huanza kuapata mwelekeo mbaya na kuharibika kwa kuamua kuzaa aua kutoa mimba .


Sunday, February 19, 2012















TEYODEN YA CHAGIZA JUU YA SWALA LA USHIRIKISHWAJI KWA VIJANA AZIMIO

 gabriel gesine akiuliza maswali kwa wadau
 mmoja wa vijana walio hudhulia tamasha hilo wakijibu maswali kutoka kwa bw. Gabriel Gesine
 kwa makini
 kijana akichania mada
Angel Raphele kutoka vituka akijibu swali kutoka kwa muwezeshaji aayupo pichani

Friday, February 17, 2012

STEPS Kumtoa Maridadi kwa mara ya pili

Mainda apika “MKEMWEMA”
Msanii wa kike wa filamu mainda yupo jikoni akiandaa filamu mpya inayokwenda kwa jina la MKE MWEMA  ambayo inazungumzia maisha ya wokovu katika mazingira ya kijijini. 
Akizungumza na kona ya filamu hivi karibuni Mainda laisema kuwa filamu hiyo imechukua maudhui ya maisha ya hapahapa Tanzania, hii ni kujaribu kuonyesha utajiri  tulionao hapa Tanzania na kuutangaza nchi za nje kupitia filamu .

Mainada alisema kuw akatika filamu hiyo ameshirikia na na wasani maharufu wengi akiwemo Steve Nyerere ,Mzeejengua na wengine wengi amabao wanatamaba katika tasnai aya Bongo Movie.

“kuna filamu nyingi sana ziemtoka lakini hii ya Mke mwema itakuw atofauti na nyingine kwani inaigizwa katika mazingira halisi ya kitanzania na lengo lekae ni kuelimisha na kuinesha jamii kuwa Tanzania imebarikiwa vitu vungi vya asili ambavyo vinafaa kwa utalii wa nadani na nje ”aliesma Mainda .

Alisema kuwa ni vema wadau wakatambua kuna haja ya kufanya vitu kwa jaili ya maslahi ya taifa hivyo mke mwema ni zwadi kwa Taifa.

Alisema kuwa huu ni mwanzo tu kwa mainda bado atakuja na vitu vingi ambavyo watu awajavitegemea .

ENDSS
MYAMBA afungua studio yake ya filamu

MSANII mahiri wa maigizo Emmanuel Myamba amefungua studi yake ya masuala ya filamu inayotambulika kwa jina la Born again Studio .

Myamba ambaye hivi karibuni alifanya sherehe fupi ya ufunguzi wa studio kwa kumualika msanii mahiri katika tasnaia ya filamu Steven Kanumba .

Katika ufunguzi huo myamba aliweka wazi kuwa studio hiyo itakuw ana lengo la kuwakomboa wasanii wa hali ya chini amabao awakuweza kupata nafasi katika vikundi mabalimbali hivyo kupatiwa mafunzo na kujikwamua kisanaa.

Kwa upande wake Kanumba alieleza kuwa ni mwanzo mzuri wa sanaa yake mymaba kwani anaweza kushuti filamu na kusambaza mweneyewe kwani studio hiyo inauwezo hadi wa kufyatua DVD original na sio feki kama zilivyo studio zingine mchwara .

Aliongeza kuwa myamba sasa ni mfano wa kuigwa hivyo wasanii wanapaswa kuiga vitu vingi kutoka kwake hili waweze kupiga hatua katika Maendeleo yao .

Endsss

Msanii wa kike macahachari katika tasnia ya filamu lulu anataraji kungaa katika filamu mpya inayokwenda kwa jina la Smart wife inayoa andaliwa na Kampuni ya Rj company .

Akizungumza na Kona ya filamu Moja wa watayarishaji wa filamu hiyo ambaye  akutaka jina lake litajwe alimtaja mwanadada huyo kuwa moja ya washiriki katika picha hiyo.

Alisema kuwa katika filamu hiyo ambayo imewashirikisha wasanii wengi akiwemo Vicent Kigosi ,Uncle Jimy na mzee Masindi .

Alieleza kuwaSmart Wife ni movie mpya ambayo inataraji kuwa sokoni hivi karibuni hivyo watu wakae mkao wa kula na wategeme vitu vikubwa .
steps
.
KAMPUNI ya usambazi ya filamu hapa nchini inayotambulika kwa jina la Steps Entertiment inataraji kusambaza filamu ya Maridadi  iliyotungwa miaka ya tisini juu ya maisha ya wahindi hapa nchini  na kuigizwa na msanii wa jamii ya kiindi Yunus Varda (Simple Maridadi).
Akizungumza na kona ya filamu hivi karaibuni Simple Maridadi alieleza kuwa hiini filamu iliyotengenezwa nakundi la  watu wa chache  hata kufanikiwa kueleza hisia za jamii ya watu wa kiindi ambao ni watanzania .

“Maridadi kwa watu wanaopenda amani ni kioo makhususi kilicholetwa wakati huu amabapo jamii ya kihindi inaishi Tanzania iko katika njia panda ya kuelewa hatima yake mara baada ya uchaguzi mkuu wa wabunge octoba 1995 “ anaeleza Maridadi .


Wednesday, February 15, 2012

Kijana mmoja mabye amevalia kama mwendawazimu ambaye upatikana katika barabra ya chango'ombe akiwa maepanda juu ya gari akipanusa kioo hili aweze kupat ujira wake kama alivyonaswa na kamera yetu .