Thursday, August 18, 2011

JK ATINGA DODOMA APOKELEWA NA WAZIRI MKUU

WAZIRI MKUU AKIWA BUNGENI DODOMA

 Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na  Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda  baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Dodoma Augost 18, 2011.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Naibu Waziri wa Maendeleo  ya Mifugo na Uvuvi  na Mbunge wa  Kiteto, Benedict Ole- Nangoro  (katikati) na Mbunge wa Mpanda  Mjini, Said  Arfi kwenye viwanja vya Bunge Mjini  
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Naibu Waziri wa Maendeleo  ya Mifugo na Uvuvi  na Mbunge wa  Kiteto, Benedict Ole- Nangoro  (katikati) na Mbunge wa Mpanda  Mjini, Said  Arfi kwenye viwanja vya Bunge Mjini  
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akijibu maswali ya wabunge, Bungeni Mjini Dodoma  Augost

No comments:

Post a Comment