Thursday, January 23, 2014

EU YAPIGA JEKI WATOTO TANZANIA

 EU1: Mkuu wa Ushirikiano kutoka Umoja wa Nchi za Ulaya Tanzania Eric Beaume (kushoto) akibadilishana hati ya makubaliano ya Mradi wa Kupambana na Ukatili kwa Watoto  na Mwakilishi wa UNICEF hapa nchini Jama Gulaid, kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mkazi wa Plan International Tanzania Jorgen Haldorsen, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Seif Rashid na Mkurugenzi Mkazi wa Save the Children International Tanzania Steve Thome wakishuhudia makabidhiano ya hati hiyo jana jijini Dar es Salaam
U4: Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Seif Rashid (aliyeko mstari wa mbele katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wadau wa Mradi wa kutokomeza Ukatili kwa Watoto mara baada ya kutia saini msaada kutoka Umoja wa nchi za Ulaya jana jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment