Tuesday, April 23, 2013

VIJANA WA KEJO WAMAUA KUJENGA DARAJA KATIKA MFREJEI WA MOLEMO

Vijana wa kikundi cha mazoezi cha Keko Joging Community (KEJO)wakiwa katika ujenzi wa Daraja la mfereji wa molemo amablo lilikuwa limebomolewa na mafuriko ya mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam, ujenzi huo ni sehemu ya kuhamasisha watu kujiunga na mazoezi kwa afaya yao na kuondoa dhana ya mazoezi ni uhuni . Picha na Humphrey Shao.

No comments:

Post a Comment