Sunday, August 7, 2011

 Ally Remtulaha akiwa katika vazi la mwezi mtukufu
 Majuto Omari mwandishi mkongwe na mwenyekiti wa maisha wa Taswa Fckijipendelea kwenye bufee
Rahma na james msosi kama kawa
 Jamila Nyangasa akifanya vitu vyake aktika vazi la jioni lililobuniwa na Asia Idaroos
Mambo ya ngoma haya kukosekana siku hiyo

MAMBO YALIVYOKUWA USIKU WA KUCHANGIA VIFAA VYA MACHO MOVENPICK

 Mama Rahma Kharoos akiwa na Bw. James shimwenye wakibadilishana mawazo mra baada ya kusikiliza speech ya mkurugenzi wa Allure

Monday, August 1, 2011

HAYA BARAKA NDIO OTEA KATIKATI YA JIJI

WANA WA BUSSINES TIMES WAKIBADILISHANA MAWAZO JUU YA HALI YA MCHEZO WA NGUMI HAPA NCHINI

KOCHA wa mchezo wa Ngumi kutoka klabu ya Ashant Rajabu Muhamila 'SUPER D' Akiwa na mwandishi wa Michezo wa Gazeti la Majira Adolf Bruno katika klabu ya ngumi ya Ashanti amabko alikwenda kutembelea mazoezi ya Timu hiyo.